1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

mabilioni ya yuro kuinusuru dunia isiangamie kwa joto

8 Aprili 2007

Berlin:

Kwa mujibu wa ofisi kuu inayoshughulikia usafi wa mazingira

,Ujerumani inabidi kutumia yuro bilioni nne kwa mwaka kuweza

kukabiliana ipasavyo na mabadiliko ya hali ya hewa.Mataifa ya viwanda

yanabidi yapunguze kwa asili mia 80 moshi unaotoka viwandani hadi

ifikapo mwaka 2050- amesema mwenyekiti wa taasisi hiyo bwana

Andreas TROGE katika mahojiano na gazeti la “BILD am

SONNTAG.”Kitisho cha kuzidi hali ya ujoto duniani kinaweza tuu

kuzuwilika kwa kutolewa vitega uchumi kwa wingi-amesema.Fedha hizo

zitabidi zitumiwe katika nishati mbadala-anahimiza bwana Troge.Waziri

wa mazingira wa serikali kuu ya Ujerumani anatetea umuhimu wa

kuendelea kutumiwa kinu cha nishati ya kinuklea nchini Ujerumani.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW