1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaktari Kenya wanusurika kutupwa jela

3 Februari 2017

Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu na Shirikisho la Vyama vya Wafanyikazi Kenya imeingilia kati kusuluhisha mgogoro kati ya serikali na Chama cha Madaktari juu ya mgomo wa madaktari.

Madaktari wanaogoma Kenya
Picha: Reuters/T. Mukoya

J2: 03:02:2017 Kenya Striking Doctors given more time - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Viongozi wa chama cha madaktari wameepuka tena kifungo cha mwezi mmoja baada ya hukumu yao kuahirishwa mara ya tatu kwa muda wa siku saba kuruhusu mazungumzo kufanyika. Mgomo wa madaktari umeendelea kwa miezi miwili sasa.
 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW