1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaktari na Wauguzi wagoma nchini Burundi

9 Desemba 2008

Madaktari na wauguzi nchini Burundi wamegoma kufanyakazi kwa muda wa wiki ya tatu sasa.

Sekione Kitojo alizungumza na Dr. Kasai wa hospitali kuu mjini Bujumbura, ambaye alitaka kujua nini madai yao katika mgomo huo.










Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW