1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaktari wa Sudan waanzisha kliniki Chad kuwatibu wahamiaji

02:08

This browser does not support the video element.

28 Agosti 2023

Madaktari wa Sudan ambao pia ni wahamiaji walioko kambini Chad baada ya kukimbia mapigano makali Darfur wajitolea kuyaokoa maisha ya wagonjwa kambini. Huo ndio ubinadamu. Tizama kwenye KurunziAfya.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW