Ajali za barabarani zaongezeka nchini Kenya. Hapo jana watu 17 waliuwawa baada ya dereva wa basi kushindwa kudhibiti usukani wakati basi hilo likitokea kaunti ya Homa bay kuelekea mjini Nairobi. Madereva wametakiwa kuwa waangalifu zaidi barabarabi. Papo kwa Papo 11.04.2018