1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madonda yasiyopona kwa Wanawake wa Tigray

02:29

This browser does not support the video element.

Hawa Bihoga
20 Juni 2024

Vita katika eneo la Tigray vimewaathiri pakubwa wanawake wa Ethiopia wakipitia madhila chungumzima ikiwemo ubakaji, kukatwa viungo vyao vimewafanya kubeba maumivu yasiopona katika maisha yao yaliosalia hapa ulimwenguni. Wanataka haki itendeke miongoni mwa waathirika wa ukatili wa kijinsia katika maeneo ya mizozo na vita.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW