1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MADRID:Hispania yafukuza wahamiaji wa kiafrika

21 Mei 2007

MADRID

Serikali ya Uhispania imewarejesha kwao zaidi ya wahamiaji 750 wa kiafrika wakiwemo watoto 30.

Wizara ya Ndani ya Uhispania imesema kuwa wengi wao ni kutoka Senegal ambao walikamatwa wiki iliyopita wakati walipokuwa wakijaribu kuingia katika kisiwa cha Canary.

Serikali ya Hispania imesema kuwa wahamiaji wote haramu watarejeshwa kwao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW