1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maelfu waathiriwa na mvua Kisumu

01:16

This browser does not support the video element.

27 Desemba 2019

Huku mvua zikiendelea kunyesha athari zake zinaendelea kushuhudiwa sehemu mbalimbali mfano Kisumu nchini Kenya. Miji kadhaa Afrika mashariki pia imeathiriwa na maafa mbalimbali kutokana na mvua hizo ambazo sasa zimedumu kwa zaidi ya miezi miwili. Watu wasiopungua wamefariki kufuatia athari za mvua hizo Afrika Mashariki

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW