1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maelfu wakimbia vita Kongo

01:21

This browser does not support the video element.

16 Februari 2018

Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamekimbilia Uganda, kutokana na ghasia zinaongezeka kaskazini mashariki mwa Kongo. Zaidi ya watu 34,000 wamevuka mpaka kwenda Uganda tangu mwanzoni mwa mwaka huu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW