1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mafuriko Kinshasa

01:52

This browser does not support the video element.

8 Aprili 2025

Watu 30 wamefariki dunia Kinshasa kufuatia mafuriko yaliyoukumba mji huo mwishoni mwa wiki. Serikali inawalaumu waliojenga makaazi karibu na mito na imetishia kuwafurusha. Mto Ndjili ambao unapitia sehemu moja ya mji huo mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, ulifurika na kuvunja kingo zake. Gavana wa Kinshasa Daniel Bumba Lubaki anasema miundombinu ya maji imeathirika.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW