1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mafuriko yasababisha maafa Kenya

01:25

This browser does not support the video element.

John Juma
8 Mei 2018

Maelfu ya Wakenya wamekumbwa na majanga ambayo yamesababishwa na mafuriko. Watu 100 wanahofiwa wamekufa huku wengine zaidi ya 200,000 wakipoteza makazi baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko.