JamiiMafuriko yasababisha maafa Kenya01:25This browser does not support the video element.JamiiJohn Juma08.05.20188 Mei 2018Maelfu ya Wakenya wamekumbwa na majanga ambayo yamesababishwa na mafuriko. Watu 100 wanahofiwa wamekufa huku wengine zaidi ya 200,000 wakipoteza makazi baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko.Nakili kiunganishiMatangazo