1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Magufuli apewa tuzo ya ukombozi wa kiuchumi

18 Julai 2018

Taasisi ya ukombozi wa Afrika imemtunuku Rais wa Tanzania kwa kile ilichoeleza kuwa kufanikiwa kukuza uchumi, elimu bure na upatikanaji wa dawa hospitalini. Wachambuzi wasema Magufuli bado hajafaulu kuinua uchumi.

Rais John Magufuli
Picha: picture alliance/AA/M. Mukami

J2 18.07 Tanzania: Reactions on Magufuli's award - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW