Mahakama kuwahoji Odinga na Musyoka
10 Oktoba 2017
Matangazo
Mahakama ya Juu iliamuru uchaguzi mkuu urudiwe baada ya kufuta matokeo ya awali ya uchaguzi wa August 8, ambapo rais Uhuru Kenyatta alishinda. DW imezungumza na mmoja wa wachambuzi nchini humo, Herman Manyora ambaye anatoa maoni yake kuhusiana na hatua hiyo.