1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahakama Tanzania yasema Mbowe ana kesi ya kujibu

02:21

This browser does not support the video element.

18 Februari 2022

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania imemkuta mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini humo Chadema, Freeman Mbowe pamoja na wenzake watatu wana kesi ya kujibu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW