1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahakama ya ICC yamkuta Dominic Ongwen na hatia

01:49

This browser does not support the video element.

4 Februari 2021

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu - ICC imemkuta na hatia Dominic Ongwen, kamanda wa zamani wa waasi nchini Uganda aliyeshitakiwa kwa makosa 70 ya uhalifu dhidi ya ubinaadamu na uhalivu wa kivita. Mahakama hiyo imemkuta Ongwen na hatia 61 ya uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinaadamu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW