SiasaMahasimu wa Sudan Kusini wasaini makubaliano ya kugawana madaraka00:50This browser does not support the video element.SiasaSudi Mnette06.08.20186 Agosti 2018Viongozi wanaohasimiana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wake wa zamani Riek Machar, wamesaini makubaliano ya mwisho ya kugawana madaraka.Nakili kiunganishiMatangazo