1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahmud Abbas ziarani Riyadh

5 Januari 2008

---

AMMAN:

Rais wa mamlaka ya Ndani wa Palestina Mahmud Abbas ameondoka Jordan kuelekea Riyadh,Saudi Arabia kushauriana na mfalme Abdullah juu ya hali ya mazungumzo ya amani ya Mashariki ya kati kabla rais George Bush hakuwasili huko wiki hii ijayo-duru za wapalestina zimearifu.

Rais Bush anaetarajiwa kuzuru Israel na ardhi za wapalestina amepinga mpango wa Israel wa kutanua ujenzi wa maskani za wayahudi katika ardhi za wapalestina.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW