1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahojiano na Mwanaharakati Hassan Omar Hassan kuhusu kifo cha Profesa Wangari Maathai

26 Septemba 2011

Marehemu Profesa Wangari Maathai atakumbukwa kwa juhudi zake za kuyasukuma mbele masuala ya haki za binadamu na ulinzi wa mazingira.

Marehemu Profesa Wangari MaathaiPicha: picture-alliance/dpa

Jee mshindi huyo wa Tuzo ya Nobel alikuwa mtu wa aina gani? Hilo ndilo suali Thelma Mwadzaya alilomuuliza Hassan Omar Hassan ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya haki za binadamu na mwanasheria nchini Kenya .

Mwandishi: Thelma Mwadzaya

Mhariri: Mohamed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW