SiasaMaisha ya wakaazi wa Johannesburg yanahatarishwa na uchafu wenye sumu02:09This browser does not support the video element.SiasaGrace Kabogo03.01.20183 Januari 2018 Maisha ya maelfu ya wakaazi wa Soweto, Afrika Kusini yako hatarini kutokana na maji yenye sumu na vumbi. Watu hao wanaishi karibu na eneo lenye rundo la uchafu wenye sumu iliyokusanyika wakati ilipogundulika migodi ya dhahabu katika karne ya 19. Nakili kiunganishiMatangazo