1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Majadiliano kumaliza mgogoro wa madereva wa treni Ujerumani

4 Desemba 2007

Majadiliano yaliyoanza siku ya Jumatatu kati ya Shirika la Reli la Ujerumani-Deutsche Bahn na chama cha wafanyakazi cha madereva wa treni-GDL yanaendelea hii leo katika juhudi ya kutenzua mgogoro wa mshahara uliosababisha idadi fulani ya migomo nchini Ujerumani.Tatizo moja kuu ni dai la GDL kutaka mkataba wake wenyewe wa mshahara mbali na ule uliokubaliwa na waajiriwa wengine wa Deutsche Bahn.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW