1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sheria na Haki

Majaji Kenya kupunguza mrundiko wa kesi

20 Agosti 2018

Kongamano la mahakimu jijini Mombasa linatafuta mbinu za kupunguza idadi kubwa ya kesi zilizowasilishwa mahakamani bila kushughulikiwa. Kaulimbiu mwaka huu ni: "Kuboresha huduma ili kutenda haki kwa wakati ufaao."

Mahakama Kuu Kenya
Picha: Getty Images/AFP/S. Maina

J3 REPORT KONGAMANO LA MAJAJI MOMBASA - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW