1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mpango aonya kuhusu uzushi mitandaoni.

02:40

This browser does not support the video element.

10 Desemba 2023

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dokta Philip Mpango amjitokeza baada ya majuma kadhaa ya uzushi kuhusu hali yake ya kiafya. Akizungumza mbele ya Rais wa Tanzania mjini Dodoma amewataka Watanzania kutumia mitandao ya kijamii kuombeana mema na heri badala ya kuzushiana vifo.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW