Mamilioni yagharimia masomo ziada kwa wanafunzi Ujerumani
18 Januari 2013
Hofu na wasiwasi, watoto wao wasije wakashindwa kufanya vizuri katika mitihani ya kumaliza masomo shuleni huwafanya wazee wengi watoe mamilioni ya fedha kuwalipa walimu wanaotoa mafunzo ya ziada majumbani.