1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maonyesho ya viwanda ya Hannover yarejea na azma ya kuendeleza Akili Bandia-AI

02:49

This browser does not support the video element.

Daniel Gakuba
21 Aprili 2023

Makampuni zaidi ya 4000 yanamulika teknolojia yao mpya katika maonyesho makubwa kabisa ya teknolojia ya viwanda yaliyoanza Jumapili mjini Hannover, Ujerumani. Dira wanayoiangazia ni maendeleo ya akili bandia kama suluhisho kwa matatizo mengi yanayoikumba dunia ya leo. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW