1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mapambano na rushwa yamefika wapi Afrika?

29 Novemba 2016

Mkutano wa asasi za kupambana na kuzuia rushwa Afrika Mashariki umefanyika Tanzania. Washiriki wanataka kufuatilia uhalifu na kuweka mkakati wa kurejesha fedha zinazotoroshwa na kufichwa nje ya nchi.

Pesa za rushwa
Picha: picture-alliance/AP Photo/S. Alamba

RIPOTI MKUTANO WA RUSHWA ARUSHA - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW