1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maputo: Upinzani unaona hadaa katika uchaguzi wa Msumbiji

20 Novemba 2003

Jana Msumbiji ilifanya chaguzi za miji, kama hatua ya kwanza ya kuondoka madarakani Rais Joaquim Chissano, ambaye atateremka kitini mwake mwakani baada ya kutawala karibu miongo miwili. Wengi miongoni mwa wapigaji kura milioni mbili , walitoa sauti zao katika miji 33, kwenye koloni hilo la zamani la Ureno, lakini chama cha upinzani Renamo kilikishutumu chama cha Chissano kwa kufanya udanganyifu. Miji yote 33 imekuwa ikitawaliwa na chama cha Frelimo, tangu Renamo na vikundi vidogo 15 kwa uchache viliposusia chaguzi zilizopita mwaka 1998.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW