Marekani iko tayari kumruhusu Tsai Ing-Wen kuizuru nchi hiyo
9 Machi 2023
Matangazo
Spika wa bunge la Marekani Siku ya Jumanne, McCarthy alithibitisha kwamba atakutana na Tsai katika jimbo lake, na kujaribu kuepuka uwezekano wa kufanya ziara Taiwan, ambayo wabunge kisiwani humo, wanahofia huenda ikachochea jibu la kijeshi kutoka China.
WorldNews-Taiwan to be alert for China millitary sudden entry
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani Ned Price, alielezea safari inayotarajiwa ya Tsai kuwa ya kupita badala ya ziara nchini humo.
China imesema imefadhaishwa na taarifa za mkutano huo kati ya Tsai na McCarthy na inapinga vikali mawasiliano yoyote rasmi kati ya Marekani na Taiwan.