1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani isiruhusu Dola kuporomoka zaidi

30 Novemba 2007

Waziri wa Uchumi wa Ujerumani Michael Glos ametoa mwito kwa Marekani kuchukua hatua ya kuzuia thamani ya Dola kuporomoka zaidi.Amesema,mauzo ya nje ya nchi za Ulaya yanaathirika kutokana na viwango vya ubadilishaji wa fedha.Glos akaongezea kuwa Marekani isijaribu kusawazisha matatizo yake ya kiuchumi kwa kuiachilia thamani ya Dola kushuka zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW