SiasaMarekani yaanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran 01:15This browser does not support the video element.SiasaSylvia Mwehozi07.08.20187 Agosti 2018Marekani yaiwekea tena Iran vikwazo, na kurudisha adhabu kali ambazo ziliondolewa kufuatia mkataba wa kihistoria wa nyuklia. Iran yasema hivyo ni vita vya kisaikolojia na kutaka kuligawa taifa hilo. Papo kwa Papo 07.08.2018. Nakili kiunganishiMatangazo