Mashambulizi mengine yatokea Pwani ya Kenya
8 Julai 2014Matangazo
Leo hii wakazi wa eneo la Hindi ambako watu zaidi ya 20 waliuawa katika mashambulizi ya Jumamosi iliyopita, asubuhi ya leo wamefanya maandamano makubwa na kufunga barabara inayounganisha eneo lao na Mombasa, na kutoka mahali hapo Daniel Gakuba amezungumza na Eric Kilakya, mkuu wa kituo cha Redio cha Sifa FM na kwanza alimuuliza ni nini hasa malalamiko ya wananchi hao ? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Daniel Gakuba
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman