1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashambulizi ya bomu yamwaga damu Irak

23 Novemba 2007

Mashambulizi mawili ya bomu nchini Irak yamesababisha umwagaji mkubwa wa damu.Bomu lililoripuka katikati ya soko mjini Baghdad limeua watu 13.Na katika mji wa Mosul kaskazini mwa Irak,askari polisi 3 na raia 10 waliuawa katika shambulizi la kujitolea maisha muhanga.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW