Mashambulizi ya bomu yamwaga damu Irak
23 Novemba 2007Matangazo
Mashambulizi mawili ya bomu nchini Irak yamesababisha umwagaji mkubwa wa damu.Bomu lililoripuka katikati ya soko mjini Baghdad limeua watu 13.Na katika mji wa Mosul kaskazini mwa Irak,askari polisi 3 na raia 10 waliuawa katika shambulizi la kujitolea maisha muhanga.