1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashindano ya mbwa Singapore

00:56

This browser does not support the video element.

5 Februari 2018

Raia wa China na watu wenye asili ya China duniani wanajiandaa kuadhimisha mwaka mpya, ambao kwa mujibu wa kalenda yao, utakuwa "Mwaka wa Mbwa". Hivyo wakazi wa mtaa wa Kichina nchini Singapore wamefanya mashindano ya mbwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW