Polisi na mamlaka ya mapato ziliizingira kwa muda ofisi za asasi yenye kupigania demokrasia AfriCOG. Baadaye serikali ilitangaza kusitishwa hatua kulifungia shirika hilo na lingine la kutetea haki za binadamu.
Matangazo
J2.16.07.2018-Kenia Interview - MP3-Stereo
This browser does not support the audio element.
DW imezungumza na mwanasheria wa AfriCOG, Harun Ndubi.