1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matatizo ya Ferry ya Likoni mjini Mombasa,Kenya

Ramadhani Yusuf, Saumu24 Julai 2008

Hali ya taharuki ilitanda mapema hii leo katika kivuko cha likoni huko mjini Mombasa nchini Kenya baada ya ferry kadhaa kupata matatizo ya kimitambo na kukwama.

Maelfu ya watu wanaosafiri kupitia eneo hilo walilazimika kukaa kwa muda wa saa sita kutokana na matatizo hayo.


Mengi zaidi anaarifu mwandishi wetu Eric Ponda kutoka Mombasa.




Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW