1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania

2 Novemba 2010

Uchaguzi kwa upande wa Zanzibar umemalizika kwa kutokea sura mpya ya kisiasa katika mtazamo wa baraza la wawakilishi visiwani.

Wananchi wa chama cha CUF walipokuwa wakisubiri matokeo ya uchaguziPicha: AP

Huku chama tawala CCM kikishindwa kuvunja ngome ya CUF huko Pemba wakati upinzani umefanikiwa kuongeza viti kisiwani Unguja.

Tunawaletea ripoti na mahojiano mbalimbali kuhusu uchaguzi huu.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW