1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MATUMAINI DAFUR

24 Machi 2007

KHARTOUM:

Mjumbe maalumu wa UM kwa Dafur, amesema ana matumaini mazuri kwamba vikundi vinavyogombana huko Dafur vyaweza vikafikia mapatano ya kuacha mapigano .Amesema vikundi vilivyokataa hapo kabla mazungumzo, sasa vitayari kujadiliana-hii ni kwa muujibu wa Radio ya Sudan ilivyoripoti hii leo.

Jan Eliasson, mjumbe maalumu wa katibu Mkuu wa UM Ki-moon aliwasili mjini Khartoum, jana usiku.Anatazamiwa kuungana na mjumbe mwenzake wa Umoja wsa Afrika Dr.salim Ahmed Salim kujaribu kufufua utaratibu wa amani huko Dafur.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW