Matumizi ya kupindukia ya viboko hatari kwa watoto
28 Desemba 2011![Mwanajeshi mtoto.](https://static.dw.com/image/6435316_800.webp)
Matangazo
Makala hii ya Salma Said inazungumzia namna matumizi ya kupindukia ya vikobo dhidi ya watoto yanavyohatarisha maisha ya watoto hao na pia kuvunja haki zao za kibinaadamu.
Makala: Matumizi ya kupindukia ya viboko hatari kwa watoto
Mtayarishaji: Salma Said
Mhariri: Othman Miraji