1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mauaji ya kutisha dhidi ya polisi Marekani

01:30

This browser does not support the video element.

8 Julai 2016

Askari polisi watano weupe mjini Dallas, Marekani wameuawa na wengine sita kujeruhiwa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya polisi dhidi ya Wamarekani weusi. Wanajeshi watiifu kwa mahasimu wa Sudan Kusini wapigana mjini Juba, Askari watano wauawa kuelekea maadhimisho ya uhuru wa nchi hiyo. Na Ufaransa yasherehekea ushindi wa kwanza mkubwa dhidi ya Ujerumani katika kipindi cha miaka 58.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW