1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo baina ya Serikali ya Uganda na LRA

20 Februari 2007

Serikali ya Uganda imesema kuwa mazungumzo na waasi wa LRA yataendelea kufanyika kama jinsi ilivyokubaliwa hapo awali.

Waasi wa LRA Uganda
Waasi wa LRA UgandaPicha: AP Photo
Kwa ufafanuzi zaidi mwandishi wetu Omar Mutasa amezungumza na waziri wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa Bwana Henry Okello.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW