1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo mapya yataleta amani Burundi?

20 Mei 2016

Mazungumzo ya siku nne ya amani ya Burundi ambayo awali yalipingwa na serikali yataanza Jumamosi mjini Arusha nchini Tanzania. Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, ni mkuu wa mazungumzo hayo.

Wanajeshi Burundi
Picha: Getty Images/AFP/Stringer

[No title]

This browser does not support the audio element.

Sudi Mnette amezungumza na msaidizi wa Rais Mkapa, Makocha Tembele, na kwanza alitaka kujua maaandalizi ya mazungumzo hayo yakoje hadi kufikia wakati huu.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW