1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo ya amani Burundi yarejesha matumaini

Elizabeth Shoo24 Mei 2016

Wajumbe waliohudhuria mazungumzo ya awali ya kuleta amani yaliyofanyika Arusha wana imani kuwa wataweza kuutatua mgogoro wa Burundi ambao umekuwa ukiendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Wajumbe wa mkutano wa kuleta amani Burundi
Picha: DW/C. Ngereza

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW