1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbuga ya Serengeti makutano ya binaadamu na wanyama

03:30

This browser does not support the video element.

14 Septemba 2023

Baada ya takriban miaka miwili ya janga la Uviko-19 imerejea tena ile hali ya wanyama kukutana na binaadamu huko katika hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania. Zaidi tazama vidio iliyoandaliwa na Ahmad Juma.