1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbunge wa CCM ataka mauaji yachunguzwe

8 Machi 2018

Mbunge huyo wa Nzega Mjini Hussein Bashe amefikisha hoja binafsi kwa katibu wa Bunge la Tanzania ili baadae iingizwe bungeni na bunge liunde tume itakayochunguza kwa uhuru na haki kukithiri ukiukaji wa haki za binadamu.

Hussein Bashe
Picha: DW/S. Khamis

mmt J3.08.2018-Tanzania Politische Lage - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Miongoni mwa vitendo hivyo vya ukiukaji wa haki za binadamu ni vile vya utekwaji, upoteaji na mauaji yanayotokea humo. DW imezungumza na mbunge Bashe na kwanza ilimuuliza amefikia hatua gani katika azma yake hiyo?