1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbunifu aliyemtengezea Malkia Elizabeth II vazi

04:04

This browser does not support the video element.

9 Septemba 2022

Malkia Elizabeth atakumbukwa kwa mengi watu wa rika mbali mbali. Nchini Tanzania mbunifu wa mavazi Farouk Abdela aliewahi kushona nguo aina ya Khanga iliyonunuliwa na malkia nchini uingereza amekua miongoni mwa Watanzania walioweka historia katika familia ya malkia Elizabeth wa pili..

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW