1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda: Habari kwa miondoko ya rap

3 Desemba 2015

Msichana rapa Zoe Kabuye, a.k.a MC Loy, anatoa taarifa mpya katika kipindi Newzbeat kinachopeperushwa hewani na NTV. Kipindi cha rap chenye kubeba taarifa muhimu kinapendwa na vijana ambao wanapenda muziki ya siasa.

Uganda Zoe Kabuye, a.k.a. MC Loy
Picha: DW/G. Hofmann

Habari kwa miondoko ya rap

03:08

This browser does not support the video element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW