1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi waishio Tanzania watakiwa kurejea Burundi

02:37

This browser does not support the video element.

22 Aprili 2021

Tanzania imeendelea na mchakato wa kuwaandikisha wakimbizi wa Burundi waishio nchini humo ili kuwarudisha nyumbani kwa hiyari katika kambi zake za mkoani Kigoma. Mchakato huo unaendelea huku baadhi ya wakimbizi wakiwa hawana utayari wa kurejea nchini mwao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW