1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Global Media Forum: Uhuru wa vyombo vya habari

24 Juni 2015

Uhuru wa vyombo vya habari, changamoto za waandishi habari na kutanuka kwa teknolojia katika sekta hii ni mambo yaliojadiliwa katika kongamano la Kimataifa la vyombo vya habari linalofanyika mjini Bonn, Ujerumani.

GMF-Banner 2015 Logo klein

[No title]

This browser does not support the audio element.

Sikiliza mahojiano baina ya Amina Abubakar na mtaalamu anayetokea nchini Tanzania, Balthazar Kitundu, ambaye kwanza ameanza kuelezea vyombo vya habari vina mchango gani kuibadili hali linapokuja suala la kiuchumi na hata kupata mafanikio ya kisiasa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW