Global Media Forum: Uhuru wa vyombo vya habari
24 Juni 2015![GMF-Banner 2015 Logo klein](https://static.dw.com/image/18073396_800.webp)
Matangazo
Sikiliza mahojiano baina ya Amina Abubakar na mtaalamu anayetokea nchini Tanzania, Balthazar Kitundu, ambaye kwanza ameanza kuelezea vyombo vya habari vina mchango gani kuibadili hali linapokuja suala la kiuchumi na hata kupata mafanikio ya kisiasa.