1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Meli ya UN iliyobeba nafaka yaelekea Afrika kutoka Ukraine

01:08

This browser does not support the video element.

19 Agosti 2022

MV Brave Commander iliondoka wiki hii katika bandari ya Bahari Nyeusi ya Pivdennyi na itasafiri hadi Djibouti kwa ajili ya kushusha shehena ya nafaka itakayopelekwa Ethiopia. Meli hiyo imebeba tani 23,000 za ngano.#Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW