1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Merkel alia na firimbi za wafuasi wa AfD

02:04

This browser does not support the video element.

12 Septemba 2017

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anatarajiwa kushinda muhula mwingine kwa urahisi. Lakini kampeni katika baadhi ya maeneo ya Ujerumani zimekuwa suala la mkwaruzano, anapokutana na wafuasi sugu wa chama cha siasa kali za kizalendo cha AfD, wanaokuja wakiwa na firimbi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW