1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mfahamu Zainab mwanamuziki anayehamasisha jamii

04:32

This browser does not support the video element.

20 Mei 2022

Muziki ni kitu kinachopenya kwa haraka katika hisia za mwanadamu hivyo msichana Zainab Hamza autumia muziki aliyourithi kutoka kwa mmoja wa wazazi wake katika kuelimisha jamii juu ya kutenda yaliyo mema anatamani kufika mbali zaidi lakini kupitia muziki wake umewapa wasichana wengine nafasi ya kufanya mambo mbalimbali.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW